Methali za kiswahili

1 Asifuye mvuwa imemnyea. Akili
nyingi huondowa maarifa.
2.Asiye
kubali kushindwa si mshindani.
3.Atangaye
na jua hujuwa. Asiye kuwapo na lake halipo.
4.Avumaye
baharini papa kumbe wengi wapo. Baada ya dhiki faraja. Baniani
mbaya kiatu chake dawa.
5.Bendera
hufuata upepo. Bilisi wa mtu ni mtu..
6.Chamlevi
huliwa na mgema.
7.Chanda
chema huvikwa pete..
8.Chombo
cha kuzama hakina usukani.Chovya - chovya yamaliza buyu la asali.
9.Dalili
ya mvua mawingu.
10.Damu
nzito kuliko maji.
11.Dawa
ya moto ni moto.
12.Dua
la kuku halimpati mwewe..
13.Fadhila
ya punda ni mateke. Fimbo ya mbali hayiuwi nyoka..
14.Fuata
nyuki ule asali.
15.Fumbo
mfumbe mjinga mwerevu huligangua.
16.Ganda
la mua la jana chungu kaona kivuno.
17.Haba
na haba hujaza kibaba.
18.Hapana
marefu yasio na mwisho.
19.Hakuna
siri ya watu wawili.
20.Haraka
haraka haina baraka
21.Kazi
mbaya siyo mchezo mwema.
22.Kelele
za mlango haziniwasi usingizi.
23.Kenda
karibu na kumi.
24.Kiburi
si maungwana.
25.Kichango
kuchangizana.
26.Kidole
kimoja hakivunji chawa.
27.Kingiacho
mjini si haramu.
28.Kikulacho
ki nguoni mwako.
29.Kila
chombo kwa wimblile.
30.Kila
mlango na ufunguwo wake.
31.Kila
mtoto na koja lake.
32.Kila
mwamba ngoma ,ngozi huivuta kwake..
33.Kila
ndege huruka na mbawa zake.
34.Kilio
huanza mfiwa ndipo wa mbali wakaingia.
35.Kimya
kingi kina mshindo mkubwa.
36.Kinga
na kinga ndipo moto uwakapo.
37.Kinyozi
hajinyoi.
38.Kinywa
ni jumba la maneno.
39.Kipendacho
moyo ni dawa.
40.Kipya
kinyemi ingawa kidonda.
41.Kisebusebu
na roho kipapo.
42.Kisokula
mlimwengu,sera nale.
43.Kitanda
usicho kilala hujui kunguni wake.
44.Kivuli
cha fimbo hakimfichi mtu jua.
45.Kiwi
cha yule ni chema cha;hata ulimwengu uwishe.
46.Kizuri
chajiuza kibaya chajitembeza.
47.Konzo
ya maji haifumbatiki.
48.Kosa
moja haliachi mke.
49.Kozi
mwandada ,kulala na njaa kupenda.
50.Kuagiza
kufyekeza.
51.Kuambizana
kuko kusikilizana hapana.
52.Kucha
M'ngu si kilemba cheupe.
53.Kuchamba
kwingi,kuondoka na mavi.
54.Kufa
kufaana.
55.Kufa
kwa jamaa, harusi.
56.Kufa
kwa mdomo,mate hutawanyika.
57.Kuishi
kwingi ni kuona mengi.
58.Kujikwa
si kuanguka,bali ni kwenda mbele.
59.Kukopa
harusi kulipa matanga.
60.Kuku
havunji yai lake.
61.Kuku
mgeni hakosi kamba mguuni.
62.Kula
kutamu ,kulima mavune.
63.Kulea
mimba si kazi kazi kulea mwana.
64.Kunako
matanga kume kufa mtu.
65.Kunguru
mwoga hukimbiza mbawa zake.
66.Kupanda
mchongoma ,kushuka ngoma.
67.Kupoteya
njia ndiyo kujua njia.
68.Kutoa
ni moyo usambe ni utajiri.
69.Kutu
kuu ni la mgeni.
70.Kuzima
koleo si mwisho wa uhunzi.
71.Kwa
mwoga huenda kicheko na kwa shujaa huenda kilio.
72.Kwenda
mbio siyo kufika.
73.Kwenye
miti hakuna wajenzi.
74.La
kuvunda(kuvunja) halina rubani.
75.La
kuvunda (kuvunja)halina ubani.
76.Lake
mtu halimtapishi bali humchefusha.
77.Leo
ni leo asemayo kesho ni mwongo.
78.Liandikwalo
ndiyo liwalo.
79.Lila
na fila hazitangamani.
80.Lipitalo
,hupishwa .
81.Lisemwalo
lipo,ikiwa halipo laja.
82.Lisilokuwapo
moyoni,halipo machoni.
83.Maafuu
hapatilizwi.
84.Macho
hayana pazia.
85.Mafahali
wawili hawakai zizi moja.
86.Maiti
haulizwi sanda.
87.Maji
hufuata mkondo.
88.Maji
huteremka bondeni,hayapandi mlima.
89.Maji
ukiyavuliya nguo huna budi kuyaogelea.
90.Maji
usiyoyafika hujui wingi wake.
91.Maji
ya kifufu ni bahari ya chungu.
92.Maji
yakija hupwa.
93.Mpanda
ngazi hushuka.
4.Maji
yakimwagika hayazoleki.
95.Majumba
makubwa husitiri mambo.
96.Majuto
ni mjukuu.
97.Manahodha
wengi chombo huenda mrama.
98.Maneno
makali hayavunji mfupa.
99.Maneno
mema hutowa nyoka pangoni.
100.Masikini
akipata matako hulia mbwata.
101.Masikini
haokoti,akiokota huambiwa kaiba.
102.Masikini
na mwanawe tajiri na mali yake.
103.Mavi
usioyala,wayawingiani kuku?
104.Mavi
ya kale hayanuki.
105.Mbinu
hufuata mwendo.
106.Mbio
za sakafuni huishia ukingoni.
107.Mbiu
za mgambo ikilia kuna jambo.
108.Mchagua
jembe si mkulima.
109.Mchagua
nazi hupata koroma.
110.Mchakacho
ujao,halulengwi na jiwe.
111.Mchama
ago hanyeli,huenda akauya papo.
112.Mchelea
mwana kulia hulia yeye..
113.Mchele
moja mapishi mengi.
114.Mcheka
kilema hafi bila kumpata.
115.Mcheza
hawi kiwete,ngoma yataka matao.
116.Mcheza
kwao hutuzwa.
117.Mcheza
na tope humrukia.
118.Mchezea
zuri ,baya humfika.
119.Mchimba
kisima hungia mwenyewe.
120.Mchonga
mwiko hukimbiza mkono wake.
121.Mchovya
asali hachovi mara moja.
122.Mchuma
janga hula na wakwao.
123.Mchumia
juani,hula kivulini.
124.Mdharau
biu,hubiuka yeye.
125.Meno
ya mbwa hayaumani.
126.Mfa
maji hukamata maji.
127.Mficha
uchi hazai.
128.Mfinyazi
hulia gaeni.
129.Mfuata
nyuki hakosi asali.
130.Mfukuzwa
kwao hana pakwenda.
131.Mgaagaa
na upwa hali wali mkavu.
132.Mganga
hajigangui.
133.Mgema
akisifiwa tembo hulitia maji.
134.Mgeni
ni kuku mweupe.
135.Mgeni
njoo mwenyeji apone.
136.Mgonjwa
haulizwi uji.
137.Miye
nyumba ya udongo ,sihimili vishindo
138.Mjinga
akierevuka mwerevu yupo mashakani.
139.Mjumbe
hauawi.
140.Mkamatwa
na ngozi ndiye mwizi.
141.Mkamia
maji hayanywi.
142.Mkata
(masikini) hana kinyongo.
143.Mke
ni nguo ,mgomba kupalilia.
144.Mkono
moja hauchinji ngombe.
145.Mkono
moja haulei mwana.
146.Mkono
mtupu haulambwi.
147.Mkono
usioweza kuukata,ubusu.
148.Mkosa
kitoweo humangiria.
149.Mkuki
kwa nguruwe mtamu,kwa mwanadamu uchungu.
150.Mkulima
ni mmoja walaji ni wengi.
151.Mla
cha mwenziwe na chake huliwa.
152.Mla
cha uchungu na tamu hakosi.
153.Mla
kuku wa mwenziwe miguu humwelekeya.
154.Mla
mbuzi hulipa ngombe.
155.Mla
mla leo mla jana kala nini?
156.Mla
nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.
157.Mlenga
jiwe kundini hajui limpataye.
158.Mlimbua
nchi ni mwananchi.
159.Mnyamaa
kadumbu.
160.mnywa
maji kwa mkono moja,Kiu yake i pale pale.
161.Moja
shika,si kumi nenda urudi.
162.Moto
hauzai moto.
163.Mpanda
farasi wawili hupasuka msamba.
164.Mpanda
ovyo hula ovyo.
165.Mpemba
akipata gogo hanyii chini.
166.Mpemba
hakimbii mvua ndogo.
167.Mpiga
ngumi ukuta huumiza mkonowe.
168.Mpofuka
ukongweni,hapotewi na njia.
169.Msafiri
masikini ajapokuwa sultani.
170.Msasi
haogopi mwiba.
171.Msema
pweke hakosi.
172.Mshale
kwenda msituni haukupotea.
173.Mshoni
hachagui nguo.
174.Msitukane
wagema na ulevi ungalipo.
175.Msitukane
wakunga na uzazi ungalipo.
176.Mstahimilivu
hula mbivu.
177.Mtaka
cha mvunguni sharti ainame.
178.Mtaka
nyingi nasaba hupata mwingi msiba.
179.Mtaka
unda haneni.
180.Mtaka
yote hukosa yote.
181.Mtegemea
nundu haachi kunona.
182.Mtembezi
hula miguu yake.
183.mteuzi
hashi tamaa.
184.Mti
hauwendi ila kwa nyenzo.
185.Mtondoo
haufi maji.
186.Mtoto
akililia wembe mpe.
187.Mtoto
umleyavyo ndivyo akuavyo.
188.Mtoto
wa nyoka ni nyoka.
189.Mtu
hakatai mwito,hukata aitwalo.
190.Mtu
hujikuna ajipatiapo.
191.Mtu
huulizwa amevaani ,haulizwi amekulani.
192.Mtumai
cha ndugu hufa masikini.
193.Mtumi
wa kunga haambiwi maana.
194.Mtumikie
kafiri upate mradi wako.
195.Mtupa
jongoo hutupa na mti wake.If you throw a millipede you should throw away
the stick you picked it up with
196.Mume
wa mama ni baba.
197.Mungu
hamfichi mnafiki.
198.Mvumbika
changa hula mbovu.
199.Mvungu
mkeka.
200.Mvunja
nchi ni mwananchi.
201.Mvuvi
ajuwa pweza alipo.
202.Mwacha
asili ni mtumwa.
203.Mwamba
na wako hukutuma umwambiye.
204.Mwamini
Mungu si mtovu.
205.Mwana
mkaidi hafaidi mpaka siku ya idi.
206.Mwana
maji wa kwale kufa maji mazowea.
207.Mwana
mkuwa nawe ni mwenzio kama wewe.
208.Mwana
wa kuku hafunzwi kuchakura.
209.Mwana
simba ni simba.
210.Mwanga
mpe mtoto kulea.
211.Mwangaza
mbili moja humponyoka.
212.Mwanzo
kokochi mwisho nazi.
213.Mwanzo
wa chanzo ni chane mbili.
214.Mwanzo
wa ngoma ni lele.
215.Mwapiza
la nje hupata la ndani.
216.Mwekaji
kisasi haambiwi mwerevu.
217.Mwenda
bure si mkaa bure,huenda akaokota.
218.Mwenda
mbio hujikwa kidole.
219.Mwenda
tezi na omo marejeo ngamani.
220.Mwenye
kelele hana neno.
221.Mwenye
kovu usidhani kapowa.
222.Mwenye
kubebwa hujikaza.
223.Mwenye
kuchinja hachelei kuchuna.
224.Mwenye
kuumwa na nyoka akiona jani hushtuka.
225.Mwenye
macho haambiwi tazama.
226.Mwenye
nguvu mpishe.
227.Mwenye
njaa hana miiko.
228.Mwenye
pupa hadiriki kula tamu.
229.Mwenye
shibe hamjui mwenye njaa.
230.Mwenye
shoka hakosi kuni.
231.Mwenye
tumbo ni tumbole, angafunga mkaja. i hushikwa na mwizi mwenziwe.
232.Mwomba
chumvi huombea chunguche.
233.Mwosha
hadhuru maiti.
234.Mwosha
huoshwa.
235.Mwosha
husitiri maiti.
236.Mzaha,mzaha,
hutumbuka usaha.
237.Mzazi
haachi ujusi.
238.Mzigo
Wa mwenzio ni kanda Ia usufi.
239.Mzika
pembe ndiye mzua pembe.
240.Mzowea
kutwaa, kutoa ni vita.
241.Mzowea
kunyonga, kuchinja hawezi.
242.Mzungu
Wa kula hafundishwi mwana.
243.Nahodha
wengi, chombo huenda mrama.
244.Natuone
ndipo twambe, kusikia Si kuona.
245.Nazi
mbovu harabu ya nzima.
246.Ndege
mjanja hunaswa na tundu bovu,
247.Ndege
mwigo hana mazowea.
248.Ndugu
chungu, jirani mkungu. (Alt. Ndugu kitu.... .)
249.Ndugu
mwui afadhali kuwa naye.
250.Ndugu
wakigombana, chukua jembe ukalime, wakipatana chukua kikapu ukavune.
251.Ngoja!
ngoja? huumiza matumbo.
252.Ngoma
ivumayo haidumu.
253.Ngoma
ivumayo haikawii kupasuka.
254.Ngozi
ivute ili maji.
255.Nia
njema ni tabibu, nia mbaya huharibu.
256.Nifae
na mvua nikufae na jua.
257.Nimekula
asali udogoni, utamu ungali gegoni.
258.Nimekupaka
wanja, wewe wanipaka pilipili.
259.Njia
ya mwongo fupi.
260.Njia
ya siku zote haina alama. A regular path has no signpost. cf. A used key
is always bright.
261.Ng'ombe
avunjikapo guu hurejea zizini.
262.Ng'ombe
haelemewi na nunduye.
263.Nta
Si asali; nalikuwa nazo Si uchunga. 264.Nyani haoni kundule, huliona la
mwenziwe.
265.Nyimbo
ya kufunzwa haikeshi ngoma.
266.Nyumba
usiyolala ndani huijui ila yake.
267.Nyumba
ya udongo haihimili vishindo.
268.Nzi
kufa juu ya kidonda Si haramu. Pabaya pako Si pema pa mwenzako.
269.Padogo
pako Si pakubwa pa mwenzako.
270.Painamapo
ndipo painukapo.
271.Paka
akiondoka, panya hutawala. Paka hakubali kulala chali.
272.Paka
wa nyumba haingwa.
273.Panapo
wengi hapaharibiki neno.
274.Papo
kwa papo kamba hukata jiwe.
275.Pele
hupewa msi kucha.
276.Pema
usijapo pema; ukipema Si pema tena.
277.Penye
kuku wengi hapamwagwi mtama.
278.Penye
mafundi, hapakosi wanafunzi.
279.Penye
mbaya wako, hapakosi mwema wako/na mwema wako hakosi.
280.Penye
miti hakuna wajenzi.
281.Penye
nia ipo njia.
282.Penye
urembo ndipo penye urimbo.
283.Penye
wazee haliharibiki neno.
284.Penye
wengi pana mengi.
285.Penye
wengi pana Mungu.
286.Pilipili
usozila zakuwashiani?
287.Pofu
hasahau mkongoja wake.
288.Pwagu
hupata pwaguzi.
289.Radhi
ni bora kuliko mali
290.Sahani
iliyofunikwa, kilichomo kimesitirika.
291.Samaki
mmoja akioza, huoza wote. I
292.Shika!
Shika! na mwenyewe nyuma.
293.Shimo
Ia ulimi mkono haufutiki.
294.Shoka
lisilo mpini halichanji kuni.
295.Si
kila mwenye makucha huwa simba.
296.Sikio
halilali na njaa.
297.Sikio
halipwani kichwa. Alt: Sikio halipiti kichwa.
298.Sikio
Ia kufa halisikii dawa.
299.Siku
njema huonekana asubuhi.
300.Siku
utakayokwenda uchi, ndiyo siku utakayokutana na mkweo.
301.Simba
mwenda kimya(pole) ndiye mla nyama.
302.Simbiko
haisimbuki ila kwa msukosuko.
303.Sitafuga
ndwele na waganga tele.
304.Subira
ni ufunguo Wa faraja.
305.Subira
yavuta heri, huleta kilicho mbali.
306.Sumu
ya neno ni neno.
307.Tamaa
mbele, mauti nyuma.
308.Taratibu
ndiyo mwendo.
309.Teke
Ia kuku halimwumizi mwanawe
310.Ucheshi
wa mtoto ni anga Ia nyumba.
311.Uchungu
wa mwana, aujua mzazi.
312.Udongo
uwahi ungali maji
313.Udugu
wa nazi hukutania chunguni
314.Ukenda
kwa wenye chongo, vunja lako jicho.
315.Ukiona
kwako kunaungua kwa mwenzako kunateketea. Ukiona neno, usiposema neno,
utapatikana na neno.
317.Ukiona
zinduna, ambari iko nyuma.
318.Ukipewa
shibiri usichukue pima.
319.Ukupigao
ndio ukufunzao.
320.Ukistaajabu
ya Mussa utaona ya Firauni.
321.Ukitaja
nyoka, shika fimbo mkononi.
322..
Ukitaka kula nguruwe, chagua aliyeno,na.
324.Ukuukuu
wa kamba Si upya wa ukambaa.
325.Ulimi
hauna mfupa.
326.Ulimi
unauma kuliko meno.
327.Ulipendalo
hupati, hupata ujaliwalo.
328.Ulivyoligema
utalinywa.
329.Umejigeuza
pweza, unajipalia makaa?
330.Umekuwa
bata akili kwa watoto?
331.Umekuwa
jeta hubanduki?
332.Umekuwa
nguva, huhimili kishindo?
333.Unamlaumu
mwewe, kipanga yuwesha kuku.
334.Ungalijua
alacho nyuki, usingalionja asali.
335.Ushikwapo
shikamana.
336.Usiache
kunanua kwa kutega.
337.Usiache
mbachao kwa msala upitao.
338.Usicheze
na simba, ukamtia mkono kinywani.
339.Usigombe
na mkwezi, nazi imeliwa na mwezi.
340.Usijifanye
kuku mweupe.
341.Usikaange
mbuyu ukawaachia wenye meno watafune.
342.Usile
na kipofu ukamgusa rnkono.
343.Usimwamshe
aliyelala utalala wewe.
344.Usinivishe
kilemba cha ukoka.
345.Usipoziba
ufa utajenga ukuta.
346.Usisafiriye
na nyota ya mwenzio.
347.Usisahau
ubaharia kwa sababu ya unahodha.