KILWA : Rehla za Ibn Batuta; Masultani ya zamani;

TOP

PAGE 6

I Previous page I Full page List I Next page

Al-Idrisi (b.1100-d.1165 or 1166), full name Abu Abd Allah Muhammad al-Idrisi (Arabic: أبو عبد الله محمد الإدريسي) world map from 1154. Note that south is at the top of the map


Mafungo yahusiana na Sultani ya Kilwa katika kitabu cha "Safari ya Ibn Battuta"

Kuona mafungo yahusiana na kisiwa cha Kilwa katika kitabu cha "Safari ya Ibn Battuta", tumia kiungo / To view relevant passages on the island of Kilwa itself go to: 14th.century coast of East Africa

Ukumbuko wa Sultani ya Kilwa

Wakati wa jilio langu kule, Sultani alikuwa Abu al Muzaffar al Hassan, na pia alikuwa akiitwa Aba-l-Mawahib (Hassan V ibn Sulayman Abu'l-Mawahib ) , kwa wingi wa upaji na ukarimu wake. Kulikuwa na mashambulio mengi kwenye nchi ya Zanji, kupigia hao na kuteka nyara. Khamsa ya hiyo ilitolewa na ilitumikwa katika matumizi yameyoainishwa humo mwenye kitabu cha Allahu taala. Sehemu ya wajamaa iliwekwa mbali , hazinani, na ijapo wakaja wageni washarifu, aliitoa kwao. Washarifu walikuwa wakisudia hapo pake kutoka nchi za Irak na Hejaz na nyinginezo sawa na hizo mbili. Na mimi niliona, miongoni mwa jamii ya masharifu wa Hejaz pale, Muhammad bin Jammaz, Mansur bin Lubaida bin Aba Numa, na Muhammad bin Shumaila bin Aba Numa, wa ama katika Mogadishu nilimkuta Atil bin Kaish bin Jummaz, ne yeye alikuwa na mradi wa kuijia kwake. Sultani huyu alikuwa naye unyenyekeo mno, na alikaa pamoja na maskini, akala nao, na alitukuza watu wa dini na wa heshima.

Back to TOP


Hekaya ya ukarimu wake

Nilikuwa hadhara yake siku ya ujamaa, na yeye alipotoka baada ya kusali kusudia nyumba yake alipingwa na maskini mmoja wa Yemen aliyesema kwake, " Aba-l-Mawahib! " Mara yeye alijibu, "Labaika. ya fakiri! Nini haja yako?" Alisema, " Nipe mavazi unayo hayo! " Yeye alimwambia, " Naam. Nitayakupa." Alirudi msikitini na aliingia chumba cha khatibu. Pale, alibadilisha nguo zake, alivua zile nyingine na alisema kwa maskini, "Ingia, na zichukue" Maskini aliingia ndani, alishika nguo na alizifungia katika kitambaa. Halafu, alizitweka kichwani na alikwenda zake. Watu walizidi katika mashukrani yao kwa kuwa Sultani amewaonyesha kadiri ya unyenyekevu na ukarimu huu. Lakini mtoto wake, na mrithi wake, alichukua nguo zilizokuwa naye maskini kwa kuzibadilisha na watumwa kumi. Alpofikia habari hii kwa Sultani kwa kuwa watu wamemshukuru yeye kitendo chake hicho, yeye pia alitoa amri kumpa maskini vichwa kumi vya watumwa, na himila mbili za pembe. Na kumbe watu pale wazidi zawadi ya pembe , ama ya dhahabu watuza mara chache tu.

Alipokufa Sultani mfadili na mkarimu huyu, Mungu amrehemu yeye, alimrithi kaka yake Daud (Da'oud IV ibn Sulayman) ukhalifa, na katika jambo hilo alikuwa mbali kabisa. Ijapokuwa mhitaji akaja kwake, alimwambia yeye, " Amekufa tayari yeye aliyekuwa mpaji, na baadaye hakuachia chochote cha alichokuwa akilipa." Na walisimama vikundi vya watu kwa miezi mingi mlangoni wake kisha alitoa zawadi kidogo hata mifiko ya watu ilikoma kabisa kuja mlangoni wake.


Back to TOP


Original Arabic text translated above:


ذكر سلطان كلوا

وكان سلطنها في عهد دخولي إليها ابو المظفر حسن ، ويكني ايضا ابا المواهب لكثرة مواهبه و مكارمه ، و كان كثير الغزو الي ارض زنوج يغير عليهم وياخزالغنائ  5; ، و يخرج خمسها ويصرفه في مصارفهالمعي  6;ة ف كتاب الله تعالي، ويجعل نصيب ذوي القربي في خزانة علي حدةفإذا جاءه الشرفاء دفعه اليهم .

وكان الشرفاء يقصدونه من العراق والحجاز وسواهما ، ورايت عنده من شرفاء الحجاز جماعة منه محمد بن جماز، ومنصور بن لبيدة بن ابي نمي ، ومحمد بن شميلة بن ابي نمي ،ولقيت بمقدشو اتيل بن كيش بن جماز ، وهو يريد القدوم عليه ، وهذا السلطان له تواضع شديد و يجلس مع الفقراء وياكل معهم ويعظم اهل الدين والشرف .

Back to TOP


حكاية من مكارمه

حضرته يوم جمعة ، وقد خرج من الصلاة قاصدا الي داره ، فتعرض له احد الفقراء اليمنيين فقال له ـ لبيك يافقير ما حاجتك ؟ قال ـ اعطيني هذه الثياب التي عليك * فقال له ـ نعم اعتيكها . فقال ـ الساعة . قال ـ نعم السعة . فرجع الي المسجد ، ودخل بيت الخطيب ، فلبس ثيابا سواها ، فخلع تلك الثياب ، وقال للفقير ـ ادخل فخذها * فدخل الفقير واخذها وربطها في منديل ، وجعل فوق راسه ، وانصرف ، فعظم شكر انناس للسلطان علي ما ظهر من تواضعه وكرمه ،واخذ ابنه ولي عهده تلك الكسوة من الفقير ، وعوضه عنها بعشرة من العبيد ، وبلغ السلطان ما كان شكر من اناس له علي ذلك ، فامرللفق 10;ر ايضا بعشرة رؤوس من الرقيق وحملين من العاج ،. ومعظم عطايهم العاج ، وقلما يعطون الذهب.

ولما توفي هذا السلطان الفاضل الكريم ، رحمة الله عليه ، ولي اخوه داود فكان علي الضد من ذلك ، إذا اتاه سائل يقول له ـ مات الذي كان يعطي ، ولم يترك من بعده ما يعطي . وقيم الوفود عنده الشهور الكثيرة وحينئذ يعطيهم القليل حتي انقطع الوافدون عن بابه.


For the sake of completeness the relevant excerpt from Gibb's translation is reproduced below :

The sultan at the time of my visit was Abu'l-Muzaffar Hasan, who was noted for his gifts and generosity. He used to devote the fifth part of his booty made on his expeditions to pious and charitable purposes, as is prescribed in the Koran, and I have seen him give the clothes off his back to a mendicant who asked him for them. When this liberal and virtuous sultan died, he was succceeded by his brother Dáwúd, who was at the opposite pole to him in this respect. Whenever a petitioner came to him, he would say 'He who gave is dead and left nothing behind him to be given'. Visitors would stay at his court for months on end, and finally he would make them some small gift, so that at last people gave up going to his gate.

Extract from Ibn Battūta, Travels in Asia and Africa 1325-1354 selected and translated by H. A. R. Gibb. Broadway Traveller's Series ( London : Routledge and Sons, 1939). Page 10.

Back to TOP


Back to TOP

The Empire of Zenj: In it's heyday this polity extended across the East African coast from Mogadishu to Zanzibar, and into the interior a considerable distance.

KILWA - reigning dynasties.

SHIRAZI

  1. 'Ali I ibn Husayn 980-1022
  2. 'Ali II ibn Bashat ibn Ali 1022-1027
  3. Da'oud I ibn 'Ali 1027-1032
  4. Khalid I ibn Bakr 1032-1035
  5. al-Hasan I ibn Sulayman 1035-1064
  6. 'Ali III ibn Daoud 1064-1090
  7. 'Ali IV ibn Da'oud 1090-1106
  8. Hasan II ibn Daoud 1100-1115
  9. Sulayman I 1115-1117
  10. Daoud II ibn Sulayman 1117-1158
  11. Sulayman II ibn al-Hasan, the Great 1158-1177
  12. Da'oud III ibn Sulayman 1177-1180
  13. Talut I ibn Sulayman 1180-1181
  14. Hasan III ibn Sulayman 1181-1200
  15. Khalid II ibn Sulayman. 1200-1206
  16. 'Ali V ibn Sulayman, the Lucky 1206-1217
  17. Abu Sulayman 1217-1259
  18. 'Ali VI ibn Da'oud 1259-1274
MAHDALI

  1. Hasan IV ibn Talut. 1274-1293
  2. Sulayman III ibn al-Hasan 1293-1308
  3. Hassan V ibn Sulayman Abu'l-Mawahib 1308-1336
  4. Da'oud IV ibn Sulayman (regent 1334-6) 1336-1357
  5. Sulayman IV ibn Da'oud 1357-1358
  6. al-Husayn I ibn Sulayman 1358-1364
  7. Talut II ibn al-Husayn 1364-1366
  8. Sulayman V ibn al-Husayn 1366-1368
  9. Sulayman VI ibn Sulayman 1368-1392
  10. Husayn II ibn Sulayman 1392-1416
  11. Muhammad I ibn Sulayman al-Adil 1416-1425
  12. Sulayman VII ibn Muhammad 1425-1447
  13. Isma'il ibn al-Husayn ibn Sulayman 1447-1460
  14. Muhammed II Yabik, (regent 1460-1)
  15. Ahmad ibn Sulayman 1461-1462
  16. Hasan VI ibn Ismail al-Khatib 1462-1472
  17. Sa'id I ibn al-Husayn 1472-1482
  18. Sulayman VIII ibn Muhammad, (regent 1482-3)
  19. 'Abdullah ibn al-Hassan 1483-1484
  20. 'Ali VII ibn al-Hasan 1484-1486
  21. Sabhat ibn Muhammad 1486-1487
  22. Hasan VIII ibn Sulayman (restored) 1487-1491
  23. Ibrahim I ibn Muhammad 1491-1496 opposed by...
  24. Muhammad III ibn Kiwab, (regent 1496)
  25. Fudayl ibn Sulayman 1496-1500
  26. Ibrahim II ibn Sulayman, (regent 1500-4)
  27. Muhammad IV Ankony, (regent 1504-5)
  28. Hajji 'Ali Hassan, (regent 1505-6)
  29. Muhammad V Mikatu (regent) 1506-7 1506-1507
  30. Ibrahim II ibn Sulayman (restored) 1507-1508
  31. Sa'id II ibn Sulayman, (regent 1508-10)
  32. Muhammad VI ibn Husayn 1510-1515

  1. Portugal 1513-1700
  2. Oman 1700-1843
  3. Merged with Zanzibar thereafter...

    Back to TOP

    Al-Idrisi (b.1100-d.1165 or 1166), full name Abu Abd Allah Muhammad al-Idrisi (Arabic: أبو عبد الله محمد الإدريسي) world map ;1154. A widely used and well known Geographical Information Systems (GIS) software, developed by Clark Labs in USA, is named Idrisi as a dedication to the Arab geographer.

    For information on other East African dynasties, see source site at :Regnal chronologies

    Mafungo yahusiana na kisiwa cha Kilwa katika kitabu cha "Safari ya Ibn Battuta", tumia kiungo/To view relevant passages on the island of Kilwa itself go to: 14th.century coast of East Africa

    I Previous page I Full page List I Next page

    © M. E. Kudrati, 2006:This document may be reproduced and redistributed, but only in its entirety and with full acknowledgement of its source and authorship